Tamasha la E-FM Redio ya Jijini Dar es salaam, liitwalo Komaa Concert lililokuwa mahususi kwa ajili ya redio hiyo kuwashukuru wasikilizaji wake wa 91.3 lilifunika jiji la Mwanza kwa mapokezi yao makubwa.Katika tamasha hilo, wanamuziki mbalimbali akiwemo Dulla Makabila, Ney Wa Mitego, Darassa, Stamina, Rich Mavoko, Aga Star, Chemichal, Ben Pol na wengine wengi walidondosha burudani kali katika uwanja wa CCM Kirumba

Darassa akitumbuiza  kwenye tamasha la KOMAA CONCERT uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza

Dulla Makabila akifanya yake kwenye tamasha la KOMAA CONCERT uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza

Ney Wa Mitengo akiwapa raha mashabiki  kwenye tamasha la KOMAA CONCERT uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza. Picha na BMG


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...