Mwonekano mwanana wa jengo la Ismailia Jamatini mjini Dodoma kutoka barabara ya Hospitali ya Mkoa wa Dodoma.
Mnara ulioko katikati ya mji wa Dodoma unaokutanisha barabara ya Dar es Salaam, Nyerere, Hospitali na Iringa pia makutano haya ni moja ya alama kuu za mji wa Dodoma.
Kibao kikionesha baadhi ya barabara kubwa zinazounganisha mji wa Dodoma
Kipita shoto katikati ya mji wa Dodoma
Moja ya Mitaa ya Mji wa Dodoma.
Taswira ya Msikiti wa Sunni uliopo barabara ya Market mjini Dodoma.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...