Meya wa Manispaa ya Ubungo, Boniface Jacob akitazama noti bandia katika banda la Benki Kuu ya Tanzania (BoT) katika maonesho ya 41 biashara katika viwanja vya saba saba leo.
Mkurugenzi wa Uangalizi wa Benki wa BoT, Kanuti akimpa maelezo Meya wa Manispaa ya Ubungo, Boniface Jacob, juu ya usimamizi wa maduka ya kubadishia fedha za kigeni na za ndani katika maonesho ya 41 ya biashara ya kimataifa leo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Global Education Link , Abdulmaalik Mollel akimpa maelezo mteja wakati maonesho ya 41 ya biashara kimataifa katika viwanja vya sabasaba jijini Dar es Salaam.
Wananchi wakiwa katika viwanja vya sabasaba jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...