Kamishna Jenerali wa Uhamiaji Dr. A. P Makakala, akitiliana saini Makubaliano na Dkt. Lu Youqing, Balozi wa China nchini kuhusu  Msaada wa Vifaa vya TEHEMA vya thamani ya Shilingi 33 Milioni kwa Chuo cha Uhamiaji cha Kikanda Moshi,  toka Serikali ya Watu wa China kupitia Ubalozi wake nchini, Mjini Moshi. Nyuma Katikati ni Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe, Mhandisi Hamad Massauni akishuhudia tukio hilo.
 Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe, Mhandisi Hamad Massauni aliyesimama nyuma katikati,  akishuhudia utiaji saini wa Mkataba wa Makabidhiano ya ya msaada uliotolewa kwa Chuo cha Uhamiaji cha Kikanda, Moshi na Serikali ya Watu wa China uliofanywa na Kamishna Jenerali wa Uhamiaji, Dk. A.P Makakala na Balozi wa China nchini, Mhe.Balozi Lu Youqing, Mjini Moshi.
Kamishna Jenerali wa Uhamiaji Dr. A. P Makakala, akielezea matumizi ya moja ya vyumba vya Maktaba ya Chuo cha Uhamiaji cha Kikanda cha Moshi kwa Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe, Mhandisi Hamad Massauni na , Mhe.Balozi Lu Youqing, kabla ya tukio la kupokea Msaada wa Vifaa vya TEHEMA vya thamani ya Shilingi 33 Milioni  toka Serikali ya Watu wa China, Mjini Moshi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...