Naibu Waziri wa Nishati na Madini Dkt. Medard Kalemani (katikati) akikata utepe kama ishara ya uzinduzi wa Mradi Kabambe wa Kusambaza Umeme Vijijini Awamu ya Tatu kwa mkoa wa Mwanza.
 Naibu Waziri wa Nishati na Madini Dkt. Medard Kalemani akielezea mikakati ya serikali ya kupeleka umeme katika vijiji na vitongoji vyote mkoani Mwanza kupitia  Mradi Kabambe wa Kusambaza Umeme Vijijini Awamu ya Tatu kwenye uzinduzi huo.
 Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella akielezea hali ya umeme katika mkoa huo kwenye uzinduzi huo.
Naibu Waziri wa Nishati na Madini Dkt. Medard Kalemani (wa tano kulia) na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella (wa sita kulia) wakiwa katika picha ya pamoja na wabunge, watendaji kutoka Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Shirika la  Umeme  Tanzania (TANESCO) na viongozi wengine wa kitaifa mara baada ya kumalizika kwa uzinduzi huo.

HABARI ZAIDI BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...