Zaidi ya asilimia 80 ya saratani za mlango wa kizazi hutokea katika nchi zinazoendelea, Tanzania ikiwa nchi mojawapo ukilinganisha na Nchi nyingine,kutoka na tatizo hilo maganga mkuu wa mkoa wa ruvuma goziberth mutayhabarwa amewataka wataalamu kuwa na desturi ya kuwa angalia wagonjwa pale wanapokuja kucheki afya zao.Rai hiyo ameitoa wakati wa kufungua mkutano wa siku mbili wa kuhamasisha timu za afya kuhusu saratani ya mlango wa kizazi ,matiti na kifua kikuu.HABARI KAMILI HII HAPA VIDEO YAKE.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...