.Mkurugenzi  wa Global Education Link (GEL), ambao ni Mawakala  Wakubwa wa Vyuo Vikuu vya Nje  ya Nchi, Abdulmalik  Mollel akisaini mkataba wa makubaliano  na  Afisa Udahili  wa Chuo cha Sri Venkteswara   cha nchini India cha Uhandisi na Teknolojia  ,  Bheems Neyulu  hafla hiyo ilifanyika katika ofisi za viwanja vya sabasaba jijini Dar es Salaam ikiwa ni  sehemu ya kuendelea na kujiandaa katika   maandalizi  ya mahitaji ya rasilmali watu  katika sekta ya viwanda nchini .
 Mkurugenzi  wa Global Education Link (GEL)  Abdulmalik Mollel  akibadilishana hati ya makubaliano  na  Afisa Udahili  wa Chuo cha Sri Venkteswara   cha nchini India ,  Bheems Neyulu  hafla hiyo iliyofanyika katika ofisi za viwanja vya sabasaba jijini  Dar es Salaam.
 Mkurugenzi  wa Global Education Link (GEL)  Abdulmalik Mollel akionesha mfumo wa udahili wa Vyuo Vikuu vya Nje wa Kielektroniki kwa wananchi waliokuwa wakipata  huduma katika ofisi hiyo, katika maonesho ya 41 biashara ya Kimataifa katika viwanja vya sabasaba
 Maafisa wa Global Education Link wakiendelea kutoa huduma katika maonesho ya 41 biashara ya Kimataifa katika viwanja vya sabasaba jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...