.Mkurugenzi wa Global Education Link (GEL), ambao ni Mawakala
Wakubwa wa Vyuo Vikuu vya Nje ya Nchi, Abdulmalik Mollel akisaini mkataba wa makubaliano na
Afisa Udahili wa Chuo cha Sri
Venkteswara cha nchini India cha
Uhandisi na Teknolojia , Bheems Neyulu
hafla hiyo ilifanyika katika ofisi za viwanja vya sabasaba jijini Dar es
Salaam ikiwa ni sehemu ya kuendelea na
kujiandaa katika maandalizi
ya mahitaji ya rasilmali watu
katika sekta ya viwanda nchini .
Mkurugenzi wa Global Education Link (GEL) Abdulmalik Mollel akibadilishana hati ya makubaliano na
Afisa Udahili wa Chuo cha Sri
Venkteswara cha nchini India , Bheems Neyulu
hafla hiyo iliyofanyika katika ofisi za viwanja vya sabasaba jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Global Education Link (GEL) Abdulmalik Mollel akionesha mfumo wa udahili
wa Vyuo Vikuu vya Nje wa Kielektroniki kwa wananchi waliokuwa wakipata huduma katika ofisi hiyo, katika maonesho ya
41 biashara ya Kimataifa katika viwanja vya sabasaba
Maafisa
wa Global Education Link wakiendelea kutoa huduma katika maonesho ya 41
biashara ya Kimataifa katika viwanja vya sabasaba jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...