Filamu ya Ndoto imechezwa na wana-Diaspora wa Kitanzania waishio nchini Ufaransa. Lengo kubwa la filamu hii ni kuelimisha jamii kwa ujumla katika suala zima la watoto na vijana wenye magonjwa hadimu. 
Filamu hii ambayo inatoka kwa Maüa Association ikishirikiana na Mr Bodmas Studios inatarajiwa kuachiwa hivi karibuni.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...