Wanafunzi na watu mbalimbali wakiwa katika banda la Chuo Kikuu Dar es salaam wakifuatilia namna ya kudahili kozi mbalimbali za Chuo hicho kwenye maonesho ya elimu ya Juu yanayofanyika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja.
Wanafunzi na watu mbalimbali wakiwa katika Global Education Likn wakifuatilia namna ya kudahili nje ya nchi katika vyou  mbalimbal kwenye ikiwa ni maonesho ya elimu ya Juu yanayofanyika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja.
Wanafunzi na watu mbalimbali wakiwa katika banda la Chuo cha Ardhi wakifuatilia namna ya kudahili  kozi mbalimbali za Chuo hicho kwenye maonesho ya elimu ya Juu yanayofanyika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja.
Wanafunzi na watu mbalimbali wakiwa katika banda la Dar es salaam Institute of Technology wakipata maelezo mbalimbali ya namna ya wanafunzi wa chuo hicho wanavyotengeneza vifaa kazi mbalimbali pamoja kutoa nafasi kwa wanafunzi kudahili  kozi mbalimbali za Chuo hicho kwenye maonesho ya elimu ya Juu yanayofanyika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja.
Wanafunzi na watu mbalimbali wakiwa katika banda la Chuo cha Mzumbe wakifuatilia namna ya kudahili  kozi mbalimbali za Chuo hicho kwenye maonesho ya elimu ya Juu yanayofanyika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja.
Wanafunzi na watu mbalimbali wakiwa katika banda la Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA) wakipata maelezo ya  namna ya kudahili  kozi za Chuo hicho kwenye maonesho ya elimu ya Juu yanayofanyika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja. Picha na Zaynab Nyamka wa Globu ya Jamii

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Ankal

    Mimi ni mwalimu, na nimevutiwa na taarifa hii. Shukrani.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...