--
Mkurugenzi
wa Utalii na Masoko kutoka Hifadhi za Taifa Tanzania, Ibrahim Mussa
akizungumza wakati wa Mjadala juu ya uhifadhi katika Mkutano wa Sita wa Mamlaka ya Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) kwa Wahariri na Waandishi waandamizi ulioanza
kufanyika leo kwenye ofisi za Mkuu wa Mkoa jijini Tanga, ,ambapo kauli
mbiu ya mkutano huo ni 'Utalii na Tanzania ya Viwanda'.
Mtaalam
na Mtafiti wa Tembo,Dk Alfred Kikoti akizungumza na Wahariri na
Waandishi Waandamizi wa Vyombo mbalimbali vya habari nchini kuhusu
Ikolojia ya tembo katika hifadhi nchini katika Mkutano wa Sita wa Mamlaka ya Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) kwa Wahariri na Waandishi waandamizi ulioanza
kufanyika leo kwenye ofisi za Mkuu wa Mkoa jijini Tanga, ,ambapo kauli
mbiu ya mkutano huo ni 'Utalii na Tanzania ya Viwanda'.
Mwenyekiti wa MisaTan , Salome Kitomari akichangia jambo katika moja ya mada katika Mkutano wa Sita wa Mamlaka ya Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) kwa Wahariri na Waandishi waandamizi ulioanza
kufanyika leo kwenye ofisi za Mkuu wa Mkoa jijini Tanga, ,ambapo kauli
mbiu ya mkutano huo ni 'Utalii na Tanzania ya Viwanda'.
Ofisa
anaeshughulikia masuala ya Ujirani mwema kutoka TANAPA, Ibrahim Ninga
akitoa somo kwa Wanahabari nini Mamlaka yake imefanya katika kuakikisha
hakuna migogoro baina ya hifadhi na Majirani
Sehemu
ya Wahariri na Waandishi Waandishi waandamizi kutoka vyombo mbalimbali
vya habari ambao wameshiriki Mkutano wa Sita wa Mamlaka ya Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) kwa Wahariri na Waandishi waandamizi ulioanza kufanyika leo kwenye ofisi za Mkuu wa Mkoa jijini Tanga, ,ambapo kauli mbiu ya mkutano huo ni 'Utalii na Tanzania ya Viwanda'.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...