Baadhi ya Madereva Bodaboda wakiwa katika foleni ya kituo cha Mafuta cha Total kilichopo Shekilango mara baada ya kukosa mafuta katika vituo vingine ambavyo vimefungwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA kwa kosa la kutotoa risiti kwa wateja hivyo kuikosesha serikali mapato
Foleni ya Magari inavyoonekana kwa nje ya kituo cha Mafuta cha TOTAl Shekilango jijini Dar es Salaam kutokana na baadhi ya vituo kufungwa kwa makosa ya kutotoa risiti za TRA
Baadhi ya madereva wa Bodaboda wakiwa wamekata tamaa mara baada ya kuona kuwa foleni kuwa kubwa
Madereva bodaboda wakiwa katika foleni ya kuweka mafuta
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...