Waziri wa Mambo ya Nje na  Kikanda,  Dkt Augustine Mahiga akipata maelezo katika banda la TFDA  alipotembelea banda hilo katika maonesho ya 41 ya Kimataifa katika viwanja vya Sabasaba jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Mambo ya Nje na  Kikanda, Dkt  Augustine Mahiga  akisaini kitabu cha wageni  katika  banda la TFDA  alipotembelea  maonesho ya 41 ya Kimataifa katika viwanja vya Sabasaba jijini Dar es Salaam. 
 Wananchi wakipata huduma katika banda la Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa ajili ya ulipaji wa kodi ya majengo katika  maonesho ya 41 ya Kimataifa katika viwanja vya Sabasaba jijini Dar es Salaam. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...