Wakazi wa jijini Dar es
Salaam waliotembelea Banda la Jeshi la Magereza, wakiangalia nafaka mbalimbali
zinazolimwa katika mashamba ya Magereza nchini kwenye Maonesho ya 41 ya
Biashara ya Kimataifa, yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Nyerere,Barabara
ya Kilwa,jijini Dar es Salaam.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Askari wa Jeshi la Magereza, Happy Kweka,
akiwaonyesha vitambaa vinavyotengenezwa na jeshi hilo wakazi waliotembelea
Banda la jeshi hilo katika Maonesho ya 41 ya Biashara ya Kimataifa
yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Nyerere,Barabara ya
Kilwa,jijini Dar es Salaam.
Wakazi wa jijini Dar es Salaam waliotembelea
Banda la Jeshi la Magereza, wakiangalia vikapu vinavyotengenezwa katika viwanda
vya ufumaji vya Magereza nchini kwenye Maonesho ya 41 ya Biashara ya Kimataifa,
yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Nyerere,Barabara ya Kilwa,jijini Dar
es Salaam.Kulia ni askari wa jeshi
hilo,Issah Ramadhan
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...