Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa Akisisitiza jambo kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Covenant Bank, Sabetha Mwambenja, wakati alipotembelea banda la maonesho la benki hiyo wakati wa Sherehe ya Vyama vya Ushirika yaliyofanyika kitaifa mwishoni mwa wiki mjini Dodoma, Waziri Mkuu ameiagiza benki hiyo kuhakikisha inafikisha huduma za bima ya matibabu na Bima ya Mazao kwa vyama vilivyoko vijijini. Pamoja nao katika picha ni Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Charles Tizeba.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...