.Waziri wa Viwanda , Biashara na Uwekezaji , Charles Mwijage  akipata maelezo kutoka kwa Meneja wa Biashara na Uhusiano wa Kiwanda cha Bora  Sylivery  Buyaga (wa pili kulia)  juu ya kiwanda  hicho kinavyofanya kazi.jijini Dar es Salaam.
 .Waziri wa Viwanda , Biashara na Uwekezaji , Charles Mwijage akionyesha ubora wa kiatu kinachotengenezwa na kiwanda cha Bora.jijini Dares Salaam.
Waziri wa Viwanda , Biashara na Uwekezaji , Charles Mwijage akitembelea kiwanda cha Cha Bora ambacho kilibinafsishwa  na sasa kimeanza uzalishaji wa bidhaa ya ngozi utaokafanya kozi kupata soko.jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...