.Waziri wa Viwanda , Biashara na Uwekezaji , Charles Mwijage akipata maelezo kutoka kwa Meneja wa Biashara na Uhusiano wa Kiwanda cha Bora Sylivery Buyaga (wa pili kulia) juu ya kiwanda hicho kinavyofanya kazi.jijini Dar es Salaam.
.Waziri wa Viwanda , Biashara na Uwekezaji , Charles Mwijage akionyesha ubora wa kiatu kinachotengenezwa na kiwanda cha Bora.jijini Dares Salaam.
Waziri wa Viwanda , Biashara na Uwekezaji , Charles Mwijage akitembelea kiwanda cha Cha Bora ambacho kilibinafsishwa na sasa kimeanza uzalishaji wa bidhaa ya ngozi utaokafanya kozi kupata soko.jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...