Tume ya vyuo vikuu nchini TCU imetangaza mfumo mpya kwwa kuomba nafasi ya kusoma vyuo mbalimbali hapa nchini; https://youtu.be/_1aKVh0VNrA
Waziri Prof.Makame Mbarawa autaka uongozi unaosimamia uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere kufanya marekebisho ndani ya uwanja huo; https://youtu.be/f76RK0Bq6Oc
Wakazi wa mkoani Lindi walia na uhaba wa mafuta kutokana na mamlaka ya mapato TRA kufunga vituo ambavyo havina mashine ya EFD; https://youtu.be/F9s6RrOtGOc
Tazama mazungumzo kwa kina kutoka kwa msanii wa muziki wa Bongofleva Barnaba akizungumzia safari yake ya muziki hapa nchini http://simu.tv/Jllvf5A
Waziri wa Ujenzi Prof. Makame Mbarawa awataka wakazi Tabora kulinda miundombinu ya uwanja wa ndege wa Tabora. https://youtu.be/sRAbKNGdqFk
Naibu waziri Selemani Jafoa amewataka viongozi wa halmashauri kupeleka michango ya watumishi katika mifuko ya hifadhi ya jamii; https://youtu.be/0k7Hs2h3vM8
Naibu waziri wa elimu Mhandisi Manyanya aitaka manispaa ya Temeke jijini Dar es Salaam kuboresha miundombinu ya shule za msingi; https://youtu.be/G7BTtHJwRMw
Serikali imeanza ujenzi wa shule maalum kwa watoto wenye ulemavu wa kusikia wilayani Arumeru katika kuhakikisha kila mtanzania anapata elimu; https://youtu.be/46wgxBHzfWA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...