Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya TPB Plc, Sabasaba Moshingi (katikati) akisalimiana na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Standard Chartered, Sanjay Rughani wakati wa uzinduzi wa mafunzo ya miezi tisa ya program ya Mwanamke wa Wakati Ujao ya kundi la pili yanayoendeshwa na Chama cha Waajiri Tanzania (ATE)  kwa kushirikiana na Shirikisho la Vyama vya Waajiri Nchini Norway (NHO) jijini Dar es Salaam jana. Mafunzo yana lengo la kuwaandaa wafanyakazi wanawake kushika nafasi za juu za uongozi katika makampuni na bodi za wakurugenzi.
 Mwenyekiti wa Bodi ya ATE, Bi. Jayne Nyimbo (wa pili kushoto), Mkuu wa Idara ya Sheria ya ATE, Suzan Ndomba (kushoto) ma Mkurugenzi Mtendaji wa ATE, Dk. Aggrey Mlimuka (katikati), wakifurahi na Mkuu wa Kitengo cha mafunzo na maendeleo wa Acacia Mining, Janeth Lekashingo katika hafla hiyo.
 Mwenyekiti wa Bodi ya ATE, Bi. Jayne Nyimbo (kushoto), akisalimiana na Mkurugenzu wa Kampuni ya Statoil Tz,  Gunnar Mentzsen    huku Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Standard Chartered, Sanjay Rughani akiangalia  wakati wa uzinduzi wa mafunzo ya  program ya Mwanamke wa Wakati Ujao yanayoendeshwa na Chama cha Waajiri Tanzania (ATE)  kwa kushirikiana na Shirikisho la Vyama vya Waajiri Nchini Norway (NHO) jijini Dar es Salaam. 
 Mhadhiri wa Taasisi ya  Uongozi ya Afrika Mashariki na Kusini (ESAMI), Prof. Apollonia Kerenge (kulia), akizungumza na washiriki wa kundi la pili wa mafunzo ya miezi tisa ya program ya Mwanamke wa Wakati Ujao yanayoendeshwa na Chama cha Waajiri Tanzania (ATE)  kwa kushirikiana na Shireikisho la Vyama vya Waajiri Nchini Norway (NHO) jijini Dar es Salaam jana. Mafunzo yana lengo la kuwaandaa wafanyakazi wanawake  kushika nafasi za juu za uongozi katika makampuni na bodi za wakurugenzi.   
  Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya TIB Corporate, Frank Mugeta (kulia), akizungumza na washiriki  wa mafunzo ya miezi tisa ya program ya Mwanamke wa Wakati Ujao yanayoendeshwa na Chama cha Waajiri Tanzania (ATE)  kwa kushirikiana na Shireikisho la Vyama vya Waajiri Nchini Norway (NHO) jijini Dar es Salaam juzi. Mafunzo yana lengo la kuwaandaa wafanyakazi wanawake  kushika nafasi za juu za uongozi katika makampuni na bodi za wakurugenzi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...