Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) alipokuwa akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Fedha na Mipango,Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya ZRB na Uongozi wa ZRB katika kikao cha siku moja kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya ZRB Bw.Saleh Sadik (kushoto) alipokuwa akitoa maelezo kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani)akiwa Mwenyekiti wa kikao cha Siku moja cha Uongozi wa Wizara ya Fedha na Mipango,Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya ZRB na Uongozi wa ZRB katika kikao cha siku moja kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja,(kulia) Mshauri wa Rais Ushirikiano wa Kimataifa na Uchumi Mhe,Mohamed Ramia Abdiwawa.
Kamishna wa Mapato ZRB Nd,Amour Hamil Bakari (katikati) akichangia wakati wa kikao cha siku moja kilichowajumuisha Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya ZRB na Uongozi wa ZRB na Uongozi wa Wizara ya Fedha na Mipango,Mwenyekiti wa kikao hicho alikuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) kilichofanyika leo Ikulu Mjini Unguja, wengine (kulia) Naibu Kamisha wa ZRB Nd,Halima Shamte na (kushoto) Mhasibu Mkuu wa Serikali Mwanahija Almasi Ali.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango Nd,Khamis Mussa (kulia) akitoa maelezo wakati wa kikao cha Siku moja cha Uongozi wa Wizara ya Fedha na Mipango,Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya ZRB na Uongozi wa ZRB katika kikao cha siku moja kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja,mweyekiti wake alikuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani),(kushoto) Waziri wa Fedha na Mipango Dkt.Khalis Salum Mohamed.
Mshauri wa Rais maswala ya Uwezeshaji Mhe. Abdulrahman Mwinyijumbe akichangia katika kikao cha siku moja kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja,mweyekiti wake alikuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani),ambacho kiliwajumuisha Uongozi wa Wizara ya Fedha na Mipango,Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya ZRB na Uongozi wa ZRB. Picha na Ikulu, Zanzibar.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...