Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP) Simon Sirro, akizungumza na Kaimu Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam (DCP) Lucas Mkondya, alipowasili nchini akitokea nchini Rwanda kwa ziara ya kikazi yenye lengo la kubadilishana uzoefu pamoja na kujadiliana juu ya njia za kukabiliana na uhalifu unaovuka mipaka, usafirishaji wa binadamu na biashara ya dawa za kulevya. 
 Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP) Simon Sirro, akisalimiana na baadhi ya maofisa wa Jeshi hilo, waliofika kumpokea alipowasili kutoka nchini Rwanda alipokwenda kwa ziara ya kikazi yenye lengo la kubadilishana uzoefu pamoja na kujadiliana juu ya njia za kukabiliana na uhalifu unaovuka mipaka, usafirishaji wa binadamu na biashara ya dawa za kulevya. 
 Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP) Simon Sirro (watano kulia) na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini Rwanda, Emmanuel Gassana(wanne kulia), wakiwa katika picha ya na Maofisa wa Jeshi la Polisi Nchini Rwanda, baada ya kumaliza kikao kazi. Picha na Jeshi la Polisi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...