Mratibu wa Idara ya huduma za jamii wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT)  Jimbo la Kusini Mchungaji  Andrew King’omela akizungumza na Mwinjilisti kiongozi wa Mtaa Mwapemba Usharika wa Mtoni Nicolas Mtali wakati wa harambee ya kuchangia ujenzi wa kanisa la Mtaa huo iliyofanyika hivi karibuni. Zaidi ya milioni 17 zilipatikana katika harembee hiyo ambayo ilikadiriwa kukusanya kiasi cha milioni 50.
 Mratibu wa Idara ya huduma za jamii wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT)  Jimbo la Kusini Mchungaji  Andrew King’omela (kushoto) akizungumza na Mchungaji wa Usharika wa Mtoni Moses Sozigwa (kulia) ambaye ni mlezi wa Mtaa wa Mwapemba wakati wa harambee ya ujenzi wa kanisa la Mtaa huo.
  Kwaya ya Uinjilisti ya Mtaa wa Kemete usharika wa Kijitonyama ikiimba wakati wa harembee ya kuchangia ujenzi  wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Jimbo la Kusini  Mtaa wa Mwapemba Usharika wa Mtoni iliyofanyika hivi karibuni. Zaidi ya milioni 17 zilipatikana katika harembee hiyo ambayo ilikadiriwa kukusanya kiasi cha milioni 50.
 Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Jimbo la Kusini  Mtaa wa Mwapemba Usharika wa Mtoni lenye uwezo wa kuchukuwa waumini 400  na vyumba vya ofisi vitano kama linavyoonekana katika picha.
Picha na Anna Nkinda.

KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...