Katbu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akizungumza alipoalikuwa kuzungumza wakati wa mkutano huo.
Wananchi wakiwa kwenye mkutano huo
Rais
Dk John Magufuli na viongozi wengine wa meza kuu akiwemo Katibu Mkuu wa
CCM Abdulrahman Kinana wakifurahia jambo wakati wa mkutano huo
mamia ya watu wakiwa wamefurika kwenye mkutano huo.
Kinana
akifuatana na viongozi wa CCm mkoa wa Tanga kumsikiliza Rais Nagufuli
alipozungumza na wananchi waliosimamisha msafara wake katika eneo la
Pongwe
Kinana na baadhi ya viongozi wa CCM wakimsikiliza Rais Magufuli katika eneo la Pongwe
Rais akizungumza na wananchi katika eneo la Pongwe PICHA ZAIDI/> BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...