Mwanaume mmoja wa makamo mkaazi wa mkoani Morogoro nchini Tanzania amekutana na adha kubwa ya maisha baada ya kukimbiwa na mke wake wa ndoa huku sababu kuu ikitajwa kuwa maradhi ya kisukari yanayo mkabili mwanaume huyo kwa muda mrefu.
Shuhuda wa kisa hiki
ameeleza kuwa, mwanamke huyo baada ya kumkimbia mume wake wa ndoa, amehamia kwa mwanaume mwingine ambae anaishi katika nyumba jirani na ananapoishi mume wake huku akimuacha mumewe akiwa anateseka na maradhi ya kisukari pasi na msaada wowote !
Kusoma zaidi habari hii na kusikia sauti...
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...