Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiwa na naibu waziri wa mambo ya nchi za Nje ya Cuba mheshimiwa Anna Teresita Gonzalez baada ya mazungumzo yao yaliyolenga kuimarisha uhusiano uliopo kati ya Tanzania na Cuba. Cuba imekubali kutoa nafasi za masomo ya juu kwa madaktari wa Zanzibar waliofundishwa udaktari na madaktari bingwa kutoka Cuba. Mazungumzo ya viongozi hawa wawili yalifanyika katika jumba la itifaki mjini Havana Cuba.
Home
Unlabelled
Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi ziarani CUBA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...