Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiwa na naibu waziri wa mambo ya nchi za Nje ya Cuba mheshimiwa Anna Teresita Gonzalez baada ya mazungumzo yao yaliyolenga kuimarisha uhusiano uliopo kati ya Tanzania na Cuba. Cuba imekubali kutoa nafasi za masomo ya juu kwa madaktari wa Zanzibar waliofundishwa udaktari na madaktari bingwa kutoka Cuba. Mazungumzo ya viongozi hawa wawili yalifanyika katika jumba la itifaki mjini Havana Cuba.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...