Waziri wa Kilimo Mifugo na Uvuvi Mhandisi Charles Tizeba akimuonesha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ubanguaji wa korosho wakati wa kilele cha sherehe ya maadhimisho ya 24 ya sikukuu ya Wakulima (Nane Nane) mkoani Lindi
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipata maelezo juu ya magonjwa na wadudu wanaoshambulia mikorosho na namna ya kutibu mimea kutoka kwa Mtafiti kiongozi wa Zao la Korosho wa Taasisi ya utafiti wa Kilimo Nahendele Bw.Fortunus Kapinga wakati wa kilele cha sherehe ya maadhimisho ya 24 ya sikukuu ya Wakulima (Nane Nane) mkoani Lindi
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan (kushoto) akiwa pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Halima Ndendegu na Mke wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Mama Salma Kikwete (MB) wakiangalia ufugaji wa samaki wa kwenye matenki unaofanywa na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) wakati wa kilele cha sherehe ya maadhimisho ya 24 ya sikukuu ya Wakulima (Nane Nane) mkoani Lindi
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiangalia karoti wakati alipotembelea na kujionea shughuli za kilimo cha mboga mboga zinazofanywa na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) wakati wa kilele cha sherehe ya maadhimisho ya 24 ya sikukuu ya Wakulima (Nane Nane) mkoani Lindi 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiangalia mkaa ulotengenezwa kutokana na makaratasi yaliotumika wakati alipotembelea banda la Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea wakati wa kilele cha sherehe ya maadhimisho ya 24 ya sikukuu ya Wakulima (Nane Nane) mkoani Lindi 

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia kwenye kilele cha sherehe ya maadhimisho ya 24 ya sikukuu ya Wakulima (Nane Nane) mkoani Lindi.
Sehemu ya wananchi waliohudhuria.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...