Mjane wa Rais Mstaafu wa Afrika Kusini Nelson Mandela , Mama Graca Marshel akipiga makofi mbele ya Wanawake waliofanikiwa kiuchumi ambao wameandikwa katika kitabu cha wanawake Afrika kuashiria uzinduzi wa Kitabu hicho katika Mkutano wa Advance Women Africa
Mwandishi wa Kitabu cha Wanawake waliofanukiwa kiuchumi Afrika , Lisa O'Donoghue akifanya marejeo ya kitabu hicho kabla ya kuzinduliwa
Mwandishi wa Habari kutoka Tanzania akitoa stori fupi ya Maisha na Mtoto wake , Ester Karin
Wanawake Mashuhuri nchini wakiwa katika mkutano huo wakijadili jambo kabla ya uzinduzi wa kitabu
Mjane wa Rais Mstaafu wa Afrika Kusini Nelson Mandela , Mama Graca Marshel , akiteta na Wanawake wajasiliamali nchini ambao wameshiriki Mkutano wa Women Advance Afrika
Sehemu ya Washiriki wa Mkutano huo wakifatilia kwa makini
Sehemu ya Washiriki wa Mkutano huo wakifatilia kwa makini.
Picha na Humphrey Shao, Globu ya Jamii.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...