Katibu
Mkuu Wizara ya Maji na Utalii,Prof Kitila Mkumbo akizindua tenki la
Maji katika eneo la Shabaha kwa ajili ya wakazi wa kijiji cha
Newland.kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakuruenzi wa Mamlaka ya Maji
safi na Usafi wa Mazingira mjini Moshi,(MUWSA) Prof Faustine Bee na
kushoto mwa katbu Mkuu ni Mjumbe wa Bodi hiyo ,Bi Hajira Mmambe.
Katibu
Mkuu Wizara ya Maji na Umwagiliaji ,Prof Kitila Mkumbo akiwabebesha
maji wawakilishi wa wananchi wa kijiji cha Newland mara baada ya
kuzindua mradi wa maji katika eneo hilo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...