Msemaji wa M-bet, Goodluck Wambura(kushoto)Kaimu Mkurugenzi wa bodi ya michezo ya kubahatisha nchini, James Mbalwe, Meneja wa bodi hiyo, Sadiki Elimsu,wakimshuhudia mshindi wa shilingi Milioni 200/- kupitia M-bet, Mkazi wa Mkoa wa Singida,Kikuba Ramadhani akiwasomea waandishi wa habari(hawapo pichani)kiasi cha fedha kilichoandikwa kwenye hundi yake wakati wa hafla fupi ya kumkabidhi hundi yake mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Meneja wa bodi ya michezo yakubahatisha nchini, Sadiki Elimsu(kushoto) Msemaji wa M-bet,Goodluck Wambura, Mkurugenzi wa bodi ya michezo ya kubahatisha nchini, James Mbalwe,wakimpongeza kwa kumpigia makofi mshindi wa M-bet wa kitita cha shilingi Milioni 200, Mkazi wa Mkoa wa Singida, Kikuba Ramadhani.
Mshindi wa kitita cha shilingi Milioni 200 kupitia M-bet, Mkazi wa Mkoa wa Singida, Kikuba Ramadhani,akiwa ameshikilia hundi yake wakati wa hafla fupi ya kumkabidhi hundi hiyo iliyofanyika jijini Dares Salaam mwishoni mwa wiki.
Mshindi wa kitita cha shilingi Milioni 200 kupitia M-bet, Mkazi wa Mkoa wa Singida, Kikuba Ramadhani(watatu toka kushoto)akiwa kwenye picha ya pamoja na ndugu zake na mama yake mzazi(wapili kushoto) wakati wa hafla fupi ya kumkabidhi hundi hiyo iliyofanyika jijini Dares Salaam mwishoni mwa wiki.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...