Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Godfrey Zambi akishika mpira uliotengenezwa na Ngozi na Kiwanda cha Tanzania alipotembelea banda la TanTrade kwenye Maonesho ya Kilimo (Nanenane) yanayoendelea mkoani Lindi. Lengo la ushiriki wa TanTrade ni kuhamasisha wazalishaji wa bidhaa za kilimo, mifugo na uvuvi katika halmshauri mbalimbali kushiriki maonesho ya Viwanda vya Tanzania yatakayoanza tar 7 - 11 Desemba, 2017 ikiwa ni fursa ya pekee kutangaza bidhaa zinazozalishwa na viwanda vya Tanzania na kutoa hamasa kwa Watanzania kununua bidhaa za Tanzania
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...