Mjumbe wa bodi ya Terea Godwin Msigwa  akitoa somo juu ya kutambua bidhaa feki  za nishati Jadidifu ambazo zinaingizwa nchini kwa njia za panya na kusababisha kupotea kwa fedha na kuleta athari kubwa katika uchumi wetu.
 Muwezeshaji kutoka Tanzania Media Foundation Dustun Kamanzi akizungumza na Waandishi wa habari walioshiriki katika mafunzo ya uandishi Nishati Jadidifu.
 Waandishi  walioshirikikatika mafunzo hayo wakitazama moja ya bidhaa feki ya Nishati Jadidifu ambayo ilikwisha ingia sokoni.
KWA PICHA ZAIDI BOFY HAPA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...