Naibu
Waziri wa Maliasili na Utalii,Mhandisi Ramo Makani akizungumza jambo
wakati wa uwasilishaji wa taarifa ya Hifadhi ya Taifa ya Mlima
Kilimanjaro.
Kaimu
Mkurugenzi wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) Mtango
Mtahiko akimueleza jambo Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii,Mhandisi
Ramo Makani wakati wa kikao cha uwasilishaji wa taarifa ya Hifadhi ya
Taifa ya Mlima Kilimanjaro (KINAPA).
Mkuu
wa Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro (KINAPA) Betrita Loibook
akifanya uwasilishaji wa taarifa kuhusu Hifadhi ya Taifa ya Mlima
Kilimanjaro kwa Naibu Waziri wa Malisili na Utalii,Mhandisi Ramo Makani.
Madiwani
kutoka kata mbalimbali za jimbo la Vunjo pamoja na Mbunge wa jimbo la
Vunjo,James Mbatia pia wameshiriki katika kikao hicho kilichofanyika
makao makuu ya Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...