Na Agness Moshi – MAELEZO.

Ni jambo la kawaida katika miaka hii kuona takwimu za tafiti mbalimbali zikitolewa na Taasisi , Serikali , Mashirika  au baadhi ya watu kwenye vyombo vya habari au mitandao ya kijamii ambayo kwa sasa imejizolea umarafu  kutokana  ongezeko la watumiaji wake Nchini.

Takwimu hizo zimekua zikitolewa kwa lengo la kutoa taarifa, kuelimisha au kusaidia katika kupanga mipango mbalimbali kwa maendeleo ya Taasisi, Shirika  husika au Nchi kwa ujumla . Wakati mwingine zimekua zikiibua hisia za wananchi kutaka kujua zaidi kuhusiana na taarifa hizo hivyo kupelekea vyombo vya habari kufuatilia taarifa hizo kwa undani.

Si jambo la ajabu kuona taarifa za takwimu kwenye magazeti, televisheni, mitandao ya kijamii au kuzisikia kwenye redio. Mtakua mashahidi wangu kwenye hili. Lakini je, takwimu hizi tunazozisikia na kuziona zinafuata Sheria na taratibu za utoji takwimu?

Ni wazi kila kitu kina utaratibu na sheria zake, vivyo hivyo utoaji takwimu una sheria na taratibu zake kuanzia ukusanyaji data hadi uwasilishwaji wake kwa jamii au taasisi husika.

Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa Ya Takwimu (NBS) Dkt. Albina Chuwa 


SOMA ZAIDI HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...