Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia maelfu ya wananchi waliojitokeza kushuhudia uzinduzirasmi wa Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji wa Korogwe mkoani Tanga katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizindua rasmi Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji huo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwapongeza madiwani na viongozi wengine baada ya kuzindua rasmi Stendi ya mabasi mpya na ya kisasa ya mji huo katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017
Kigoda
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli  waakitoa heshima zao kwenye kaburi la aliyekuwa Mbunge wa Handeni Marehemu Alhaj Dkt. Abdallah Kigoda  nyumbani kwa marehemu mjini Handeni katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani Tanga  leo Agosti 7, 2017. Pamoja nao ni mjane wa marehemu Mama Kigoda, dada wa Marehemu Mhe, Asha Kigoda na mtoto wa marehemu ambaye pia ni Mbunge wa jimbo hilo Mhe. Omari Abdallah Kigoda, Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Martine Shigella na Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mhe. Godwin Gondwe.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa Handeni  katika siku ya mwisho ya ziara yake ya kikazi ya siku tano mkoani humo leo Agosti 7, 2017.
 Wakati akirejea Dar es salaam Rais Mgufuli alisimamishwa na umati mkubwa wa wananchi waliokaa barabarani wakimsubiri apite  maeneo ya Bunju A wilaya ya Kinondoni nje kidogo ya jiji la Dar es salaam. Ikabidi asimamishe msafara na kuzungumza nao.
 Rais Dkt. Magufuli akiongea na umati mkubwa wa wananchi uliomsimamisha  maeneo ya Bunju A wilaya ya Kinondoni nje kidogo ya jiji la Dar es salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...