Mshindi wa Jackpot ya Tatu Mzuka iliyofanyika Jumapili hii Bi
Ruth Rodgers Maeda akikabidhiwa hundi ya shilingi Milioni 20 aliyojishindia
kutoka kwa balozi wa Mchezo wa Tatu Mzuka, Mussa Hussein. Mchezo wa Tatu Mzuka
umefanikiwa kujizoelea umaarufu kwa kutoa washindi kila saa. Jackpot hiyo
inaendelea jumapili hii kwa mshindi kujishindia shilingi milioni 80.
Mshindi wa Jackpot ya Tatu Mzuka iliyofanyika Jumapili hii Bi
Ruth Rodgers Maeda (wa pili kutoa kulia) akishangilia pamoja na familia yake
ushindi wake wa zawadi ya shilingi Milioni 20. Mchezo wa Tatu Mzuka umefanikiwa
kujizoelea umaarufu kwa kutoa washindi kila saa. Jackpot hiyo inaendelea
jumapili hii kwa mshindi kujishindia shilingi milioni 80.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...