Katibu wa Umoja wa Vijana Mkoa wa Iringa ndg:James mgego akiwasilisha taarifa ya maendeleo ya uchaguzi wa jumuiya ya Umoja wa Vijana kwa Kaimu katibu mkuu Uvccm Shaka Hamdu Shaka alipowasili kusaini kitabu cha wageni katika Ofisi za CCM Mkoa .

Ndg:Kaimu katibu mkuu Uvccm Shaka Hamdu Shaka akitazama baadhi ya
nyaraka na vitabu mbali mbali vilivyokua vikitumika wakati wa mafunzo
katika chuo cha mafunzo Ihemi Mkoani Iringa.
Ndg:Kaimu katibu mkuu Uvccm Shaka Hamdu Shaka (wa tatu)akielekea kukagua baadhi ya majengo ya Chuo cha mafunzo Ihemi Mkoan Iringa.
Ndg:Kaimu katibu mkuu Uvccm Shaka Hamdu Shaka akikagua majengo ya madarasa katika chuo cha mafunzo Ihemi Mkoani Iringa.
Ndg:Kaimu katibu mkuu Uvccm Shaka Hamdu Shaka akipata maelekezo katika mchoro wa ramani wa kubadilisha majengo na muonekano wa chuo cha mafunzo Ihemi Mkoani Iringa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...