Mabeki wa timu ya Simba, Jonas Mkude (kulia) na Mzamiru Yassin wakichuana na Mshambuliji wa Timu ya Rayon Sports ya nchini Rwanda, katika mchezo wa kujipima nguvu ikiwa ni sehemu ya Sherehe za kuadhimisha miaka 81 toka kuanzishwa kwa timu hiyo, zinazofahamika kama Simba Day. Mchezo huo umemalizika jioni hii katika dimba la Taifa, jijini Dar es salaam. Simba imeshinda bao 1-0 .
 Beki wa Timu ya Rayon Sports ya nchini Rwanda akionyesha umahiri wake wa kuondosha mpira wa hatari langoni mwake, katika mchezo wa kujipima nguvu ikiwa ni sehemu ya Sherehe za kuadhimisha miaka 81 toka kuanzishwa kwa timu hiyo, zinazofahamika kama Simba Day. Mchezo huo umemalizika jioni hii katika dimba la Taifa, jijini Dar es salaam. Simba imeshinda bao 1-0 .
 Mshambuliaji mpya wa Timu ya Simba, John Bocco akiwa na mpira mbele ya mabeki wa timu ya  Rayon Sports ya nchini Rwanda, katika mchezo wa kujipima nguvu ikiwa ni sehemu ya Sherehe za kuadhimisha miaka 81 toka kuanzishwa kwa timu hiyo, zinazofahamika kama Simba Day. Mchezo huo umemalizika jioni hii katika dimba la Taifa, jijini Dar es salaam. Simba imeshinda bao 1-0 .
  Mshambuliaji mpya wa Timu ya Simba, Emmanuel Okwi akiondoka na mpira mbele ya mabeki wa timu ya  Rayon Sports ya nchini Rwanda, katika mchezo wa kujipima nguvu ikiwa ni sehemu ya Sherehe za kuadhimisha miaka 81 toka kuanzishwa kwa timu hiyo, zinazofahamika kama Simba Day. Mchezo huo umemalizika jioni hii katika dimba la Taifa, jijini Dar es salaam. Simba imeshinda bao 1-0 .
 Mgeni rasmi katika mchezo wa kujipima nguvu kati ya Timu ya Simba na Rayon Sports ya Rwanda, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais - Muungano na Mazingira, January Makamba (kushoto) akimuandalia, Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba wakati akisalimiana na wachezaji wa timu hizo kabla kuanza kwa mechi hiyo. mwenye kaptula ni Mdhamini wa Simba, Mohamed Dewji "Mo".
 Kikosi cha Rayon Sports ya Rwanda.
Kikosi cha Simba.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...