Wanachama wa klabu ya simba kutoka hapa songea wamejitokeza kwa wingi katika hospitali ya rufaa ya songea kwa lengo la kuwa fariji wagonjwa,lakini walipata nafasi ya kufanya usafi katika maeneo hayo na kutoa damu kwa watu wenye mahitaji.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...