Muwezeshaji kutoka Tanzania Media Foundation Dustun Kamanzi akizungumza na Waandishi wa habari walioshiriki katika mafunzo ya uandishi Nishati Jadilifu
Mwandishi Mwandamizi Alan Lawa akizungumza jambo wakati wa majadala uliokuwa ukiendelea katika mafunzo hayo yaliyoandaliwa na TMF na Hivos Kenya
Muwakilishi wa Hivos Kenya , Maimuna Kabatesi akizungumza juu ya Hivos Kenya katika kusaidia masuala ya mabadiliko ya Tabia nchi
Waandishi walioshirikikatika mafunzo hayo wakijadili jambo wakati wa kazi za makundi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...