Ungana nasi killa Ijumaa kwa Maombi haya ya Kivita, katika Kupambana na Shetani ana kwa ana katika Ulimwengu wa roho.
 Waefeso 6:10-18.

Familia nyingi zimefunguliwa kwa Jina la Yesu, Kupitia Maombi haya ya Mkesha wa USIKU WA VITA.Usikose Kuungana nasi katika Ufunguzi wa Maombi haya Kimataifa;

Ingia kwenye Maombi haya na Mahitaji yako, Famila yako, Yesu atakwenda kukufungua Usiku huo 

 Kama wewe unaishi USA na CANADA  
Dial : (319)-527-9613 (NO CODE)
Time: 11:pm - 4:am (Eastern Time)


  Walio nje ya USA* huwa 
Kila Jumamosi Asubuhi.

Tafadhali
Dial namba Kutoka nchi uliyopo👇👇👇

Tanzania: Tel: 041 120 1000
*Access CODE: 172963#*
*Time: 7:00am - 11:00 am* 

UK: Tel:  0330 998 1254
 Access CODE: 172963#*
 *Time: 5:00am - 9:00am* 

Kenya:Tel: 020 7653263
Access CODE: 172963#*
  Time: 7:00am - 10:00am* 


S-Africa:Tel: 087 825 0143
 Access CODE: 172963#*
 *Time : 6:00am - 10:00am* 

Italy :Tel: 051 092 0292
  Access CODE: 172963#*
 *Time: 6:00am - 10:00am*

Denmark :Tel: 78 73 09 22
*Access CODE: 172963#*
 *Time: 6:00am - 10:00am* 

Bwana Yesu akushindie VITA yako:
Unaweza kuwasilia na 
Mtumishi. 
Minister -John Kazilo
USA.

Pastor-Peter Igogo
Tanzania
Bishop Boniface Rweikiza
Tanzania 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...