Kaimu Mkurugenzi Mkuu Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Makwaia Makani akifungua mafunzo ya Huduma Kwa Wateja yaliofanyika katika hospitali hiyo jana. Kushoto ni mtoa mada, Elizabeth Fupe na Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano katika Hospitali hiyo, Neema Mwangomo. Wafanyakazi wametakiwa kutumia lugha nzuri wakati wa kuwasiliana na wagonjwa pamoja na ndugu zao ili kurahisisha utuoaji wa huduma za matibabu.
 Baadhi ya wafanyakazi wakifuatilia mafunzo hayo yaliofanyika katika hospitali hiyo.  

 Baadhi ya wafanyakazi wakifuatilia mafunzo hayo yaliofanyika katika hospitali hiyo.  

Wafanyakazi hao wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kupatiwa mafunzo hayo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...