Mchezaji wa timu ya gofu ya NMB, George Kivaria ambaye pia ni Mkuu wa Idara ya Huduma Mbadala za Kibenki wa NMB akishiriki mashindano ya gofu ya Mothly Mug yanayoandaliwa na Klabu ya Gofu ya Lugalo. Mchezaji wa timu ya gofu ya NMB, Gibson Mlaseko ambaye pia ni Meneja Mahusiano ya Wateja wa NMB akishiriki mashindano ya gofu ya Mothly Mug yanayoandaliwa na Klabu ya Gofu ya Lugalo. Mchezaji wa timu ya gofu ya NMB, Michael Misabo ambaye pia ni Meneja wa Huduma kwa Njia ya Mtandao akishiriki mashindano ya gofu ya Mothly Mug yanayoandaliwa na Klabu ya Gofu ya Lugalo. Wafanyakazi wa benki ya NMB Tanzania wameshiriki mashindao ya gofu ya kila mwezi yanayoandaliwa na Klabu ya Gofu ya Lugalo yanayofahamika kama Mothly Mug ambayo yamefanyika kwenye viwanja vya gofu vya Lugalo. Mchezaji wa timu ya gofu ya NMB, Gibson Mlaseko ambaye pia ni Meneja Mahusiano ya Wateja wa NMB akishiriki mashindano ya gofu ya Mothly Mug yanayoandaliwa na Klabu ya Gofu ya Lugalo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...