Waziri
Mkuu Kassim Majaliwa na Mke wake Mary wakimjulia hali leo August
13.2017 ,Mbunge wa Viti maalumu CCM Mkoa wa Kigoma Mheshimiwa Josephine
Ngezabuka .ambaye amelazwa kwa matibabu katika Hosptali ya Muhimbili
(MOI) Baada yakupata ajali hivi karibuni Mkoani Kigoma. katikati mwenye
miwani ni Naibu spika Dkt. Tulia Akson.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
Naibu
Spika Dr Tulia Akson mwenye miwani akiwa na Waziri wa Elimu Prof Joyce
Ndalichako (c) pamoja na Mbunge wa Viti maalumu Mkoa wa Arusha
Mheshimiwa Catherine Magige wakimjulia hali leo August 13.2017 ,Mbunge
wa Viti maalumu CCM Mkoa wa Kigoma Mheshimiwa Josephine Ngezabuka
,ambaye amelazwa kwa matibabu katika Hosptali ya Muhimbili (MOI) Baada
yakupata ajali hivi karibuni Mkoani Kigoma.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...