Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa (Wa tatu kulia), akizungumza na Rais wa Kampuni ya China Civil Engineering Construction Cooporation (CCECC) Bw. Zhao Dianlong kuhusu maendeleo ya ujenzi wa  barabara za maingiliano katika eneo la Ubungo (Ubungo interchange), leo jijini Dar es Salaam.
 Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa (Wa pili kulia), akizungumza na Makamu wa Rais wa kampuni ya China Harbour Engineering Company Ltd Bw. Liyi .. kuhusu upanuzi wa Bandari ya Dar es Salaam, Leo Jijini Dar es Salaam.
 Makamu wa Rais wa kampuni ya China Harbour Engineering Company Ltd Bw. Li-yi (Wa tatu kulia), akifafanua jambo kwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa (Wa pili kushoto), kuhusu shughuli za Upanuzi wa Bandari ya Dar es Salaam, leo jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa (Wa pili kulia) akizungumza na Balozi wa Jamhuri ya Korea nchini Tanzania  Bw. Song Geum-young (Kulia), kuhusu miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa na nchi yake hapa nchini.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...