Waziri wa Ujenzi,
Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa (Wa tatu kulia), akizungumza na
Rais wa Kampuni ya China Civil Engineering Construction Cooporation (CCECC) Bw.
Zhao Dianlong kuhusu maendeleo ya ujenzi wa
barabara za maingiliano katika eneo la Ubungo (Ubungo interchange), leo
jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Ujenzi,
Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa (Wa pili kulia), akizungumza na
Makamu wa Rais wa kampuni ya China Harbour Engineering Company Ltd Bw. Liyi ..
kuhusu upanuzi wa Bandari ya Dar es Salaam, Leo Jijini Dar es Salaam.
Makamu wa Rais wa
kampuni ya China Harbour Engineering Company Ltd Bw. Li-yi (Wa tatu kulia), akifafanua
jambo kwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa (Wa
pili kushoto), kuhusu shughuli za Upanuzi wa Bandari ya Dar es Salaam, leo
jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Ujenzi,
Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa (Wa pili kulia) akizungumza na
Balozi wa Jamhuri ya Korea nchini Tanzania Bw. Song Geum-young (Kulia), kuhusu miradi
mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa na nchi yake hapa nchini.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...