Mkurugenzi Mtendaji wa Watumishi Housing Company (WHC),  Dkt. Fred Msemwa (Katikati)akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo wakati wa kufungua dirisha jipya  litakalowezesha watumishi wa sekta binafsi  kuweza kununua nyumba zake kwa garama nafuu na kuwainua kiuchumi. Kushoto  ni Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mauzo wa Watumishi Housing Company (WHC), Raphael Mwabuponde na Kulia ni Afisa Uhusiano na mauzo wa Watumishi Housing Company (WHC),  Maryjene Makawia.
Kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mauzo wa Watumishi Housing Company (WHC), Raphael Mwabuponde akifafanua jambo wakati wa kufungua dirisha jipya  litakalowezesha watumishi wa sekta binafsi  kuweza kununua nyumba zake kwa garama nafuu na kuwainua kiuchumi. katikati ni
Mkurugenzi Mtendaji wa Watumishi Housing Company (WHC),  Dkt. Fred Msemwa na kulia ni Afisa Uhusiano na mauzo wa Watumishi Housing Company (WHC),  Maryjene Makawia.
kulia ni  Afisa Uhusiano na mauzo wa Watumishi Housing Company (WHC),  Maryjene Makawia akizungumza na waandishi wa ahabari jijini Dar es Salaam leo. kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Watumishi Housing Company (WHC),  Dkt. Fred Msemwa.

Kulia ni Afisa Mauzo wa Watumishi Housing Company (WHC), Irene Kasanda akifafanua jambo kwa waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo. Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mauzo wa Watumishi Housing Company (WHC), Raphael Mwabuponde, Mkurugenzi Mtendaji wa Watumishi Housing Company (WHC),  Dkt. Fred Msemw na Afisa Uhusiano na mauzo wa Watumishi Housing Company (WHC),  Maryjene Makawia.
Picha na Avila Kakingo, Blog ya Jamii.
Na Karama Kenyunko blogu ya jamii.
WATUMISHI Housing Company (WHC),  wamefungua dirisha jipya  litakalowezesha watumishi wa sekta binafsi  kuweza kununua nyumba zake kwa garama nafuu na kuwainua kiuchumi.

Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Mtendaji wa WHC,  Dkt. Fred Msemwa, amesema, dirisha hilo ambalo litajumuisha Watumishi wote wale wa umma na wa binafsi, litawawezesha wafanyakazi wote kuwa na makazi bora kupitia umiliki wa nyumba kwani nyumba hizo wanaweza kuzitumia kwa kukopa kuanzisha miradi mbali mbali ya uchumi.

Amesema Watumishi hao wa sekta binafsi ambao nao wanapata fursa ya kununua nyumba hizo ni wale ambao hawako katika utumishi wa umma lakini wanachangia katika mifuko ya pensheni.

Ameongeza kuwa, wigo huo mdogo unatokana na mahitaji ya wengi kwani watu wengi ukitoa Watumishi wa umma ambao hapo awali ndio walikuwa na sifa ya kununua nyumba hizo,wanashida ya makazi bora na ya kisasa
                                              KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...