Ofisa Mwandamizi Biashara wa Benki ya Azania, Victor Musendo (kulia) akimuelezea jambo mmoja wa wahandisi waliotembelea banda lao kuhusu huduma mbalimbali za benki ya Azania wakati wa Mkutano wa Mwaka wa wahandisi Tanzania uliofanyika Septemba 7-8, 2017 Mkoani Dodoma. Katikati ni Afisa Masoko Mwandamizi wa Azania Bank, Othman Jibrea.
Maofisa wa Benki ya Azania wakiongozwa na Meneja Mwandamizi Kitengo cha Wateja binafsi, Jackson Lohay (watatu kushoto) wakizungumza na baadhi ya wananchi waliofika katika banda la Azania Bank Limited wakati wa Mkutano wa mwaka wahandisi uliofanyika Dodoma Septemba 7-8, 2017 .
Baadhi ya wanafunzi waliofanya vizuri katika masomo kutoka vyuo mbalimbali kitaifa wakipata maelezo kuhusiana na huduma za kibenki zitolewazo na Azania Bank Ltd.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...