Makamu wa pili wa Rais Zanzibar Balozi Seif Ali Idd akipokea zawadi ya kumbumbu kutoka kwa Balozi wa Kuwait nchini, Mhe Jaseem Al Najem.
Balozi wa Kuwait nchini, Mhe Jaseem Al Najem akiwa katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali wa Zanzibar.
Balozi wa Kuwait nchini, Mhe Jaseem Al Najem akimkabidhi mabeseni 300 ya vifaa tiba vya mama mjamzito Waziri wa Afya wa Zanzibar , Mahmoud Thabit Kombo(wapili kulia) katika hafla ilifanyika katika Hospitali ya mnazi mmoja.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...