Makamu wa pili wa Rais Zanzibar Balozi Seif Ali Idd akipokea zawadi ya kumbumbu kutoka kwa Balozi wa Kuwait nchini, Mhe Jaseem Al Najem.
Balozi wa Kuwait nchini, Mhe Jaseem Al Najem akiwa katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali wa Zanzibar.
Balozi wa Kuwait nchini, Mhe Jaseem Al Najem akimkabidhi mabeseni 300 ya vifaa tiba vya mama mjamzito Waziri wa Afya wa Zanzibar , Mahmoud Thabit Kombo(wapili kulia) katika hafla ilifanyika katika Hospitali ya mnazi mmoja.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...