Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza Nchini Dk. Juma Ally Malewa wa kwanza kushoto akimkabidhi Mhariri Mkuu wa Gazeti la Mtanzania Bw. Kulwa Karedia Cheti cha Kutambua Mchango wa Gazeti la MTANZANIA katika kutangaza shughuli za Maendeleo za Jeshi la Magereza Nchini hususani mchango wa Jeshi hilo katika Uchumi wa Viwanda. Makabidhiano hayo yamefanyika katika Ofisi za Makao Makuu ya Jeshi la Magereza Jijini Dar es Salaam. (Picha na Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali WMNN.)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...