Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza Nchini Dk. Juma Ally Malewa wa
kwanza kushoto akimkabidhi Mhariri Mkuu wa Gazeti la Mtanzania Bw. Kulwa Karedia
Cheti cha Kutambua Mchango wa Gazeti la MTANZANIA katika kutangaza shughuli za
Maendeleo za Jeshi la Magereza Nchini hususani mchango wa Jeshi hilo katika
Uchumi wa Viwanda. Makabidhiano hayo yamefanyika katika Ofisi za Makao Makuu ya
Jeshi la Magereza Jijini Dar es Salaam. (Picha na Kitengo cha Mawasiliano ya
Serikali WMNN.)
Home
HABARI
JESHI LA MAGEREZA LAKABIDHI CHETI KWA GAZETI LA MTANZANIA KUTAMBUA MCHANGO WAKE WA KUTANGAZA SHUGHULI ZA MAGEREZA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...