Kikao cha Baraza la wafanyabiashara wilaya ya kigoma kilichofanyika  jana ambacho kilikuwa kikao maalum cha madiwani wa halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji na halmashauri ya wilaya ya kigoma mkoani kigoma, wakisikiliza ajenda mbalimbali zinazowasirishwa na baraza hilo na namna ya kutumia fursa ya mradi wa ( LIC) unaolenga kuboresha mazingira ya uwekezaji na biashara kwa wafanyabiashara wadogo,kati na wakubwa ili kukuza uchumi katika sekta ya viwanda mkoani humo.Picha na Magreth Magosso Kigoma.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...