Kikao
cha Baraza la wafanyabiashara wilaya ya kigoma kilichofanyika jana ambacho kilikuwa kikao
maalum cha madiwani wa halmashauri ya Manispaa ya Kigoma Ujiji na
halmashauri ya wilaya ya kigoma mkoani kigoma, wakisikiliza ajenda
mbalimbali zinazowasirishwa na baraza hilo na namna ya kutumia fursa ya
mradi wa ( LIC) unaolenga kuboresha mazingira ya uwekezaji na biashara
kwa wafanyabiashara wadogo,kati na wakubwa ili kukuza uchumi katika
sekta ya viwanda mkoani humo.Picha na Magreth Magosso Kigoma.
Home
JAMII
MADIWANI KIGOMA WAKUTANA KUJADILI NAMNA YA KUTUMIA MIRADI MBALIMBALI KUBORESHA MAZINGIRA YA UWEKEZAJI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...