Kesi ya kuuwa bila kukusudia inayomkabili, Msanii wa filamu hapa nchini, Elizabert Michael "Lulu" inaendelea kusikilizwa leo katika Mahakama kuu Dar es salaam, ambapo shahidi wa nne atatoa ushahidi wake Mahakamani hapo. Pichani ni Wakili wa Lulu, Peter Kibatala akijadiliana jambo na mteja wake aliyeambatana na wazazi wake Mahakamani hapo kabla ya kuanza kusikilizwa kwa kesi hiyo. Lulu anakabiliwa na kesi ya kumuua bila kukusudia Msanii mwenzake, Marehemu Steven Kanumba miaka sita iliyopita.
Home
HABARI
MAHAKAMA
KESI YA KUUWA BILA KUKUSUBIA INAYOMKABILI MSANII LULU LUENDELEA LEO MAHAKAMA KUU DAR ES SALAAM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...