Makamu wa Rais, Samia Hassan Suhuhu akimpa Mkono, Mkuu wa Kituo cha Ukaguzi wa Mabasi cha Ubungo, Ibrahim Samwix katika wiki usalama barabarani iliyofanyika mkoani Kilimanjaro.Ikiwa ni pongezi kwa kusimamia vizuri sheria za usalama barabarani.
Waziri wa mambo ya ndani ya nchi, Mwigulu Lameck Nchemba akimpa mkono Mkuu wa Ukaguzi wa Kituo cha Mabasi cha Ubungo, Ibrahim Samwix katika Wiki Usalama Barabarani iliyofanyika mkoani Kilimanjaro, Mkuu kituo cha mabasi ubungo alitunukiwa cheti cha usimamizi wa sheria za usalama barabarani .
Waziri wa mambo ya ndani ya nchi, Mwigulu Lameck Nchemba akimpa mkono Mkuu wa Ukaguzi wa Kituo cha Mabasi cha Ubungo, Ibrahim Samwix katika Wiki Usalama Barabarani iliyofanyika mkoani Kilimanjaro, Mkuu kituo cha mabasi ubungo alitunukiwa cheti cha usimamizi wa sheria za usalama barabarani .
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...