Mwakilishi wa kampuni ya Tansafrica Water System Bi. Imelder Kimambo akitoa maoni yake katika semina ya wadau wa biashara katika ofisi za Shirika la Viwango Tanzania (TBS) jijini Dar es Salaam jana.Lengo la semina hiyo ni kubadilishana mawazo na kuelekezana namna taratibu za viwango zinavyofanyika.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Profesa Egid Mubofu akisisitiza jambo kwenye semina ya wadau wa biashara iliyofanyika katika ofisi za shirika hilo jijini Dar es Salaam jana ikiwa na lengo la kutoa elimu na taratibu mbalimbali kuhusiana na bidhaa zinazozalishwa ndani na kuingizwa kutoka nje ya nchi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...